FAHAMU MASOMO YA MTAALA MPYA NA WA ZAMANI YANAYO PASWA KUFUNDISHWA
(A) MTAALA MPYA
1.AWALI MASOMO-06
-Kutumia stadi za awali za kihisabati,sayansi na Tehama
-Kuthamini utamaduni wa jamii yake,elimu ya Imani na Tunu za Taifa
-Kuhusiana
-Kumudu stadi za awali za lugha na mawasiliano
-Kumudu stadi za kisanii,ubunifu na michezo
-Kutunza Afya na mazingira
2.DARASA -1 MASOMO-07
-Kutunza Afya na mazingira
-Demonstrate mastery of Basic English language skills
-Kuandika
-Kuhesabu
-Kuthamini Utamaduni Sanaa na michezo
-Kusoma
3.DARASA -2 MASOMO -07
-Kutunza Afya na mazingira
-kuandika
-Kuhesabu
-Kusoma
-Kuthamini utamaduni, Sanaa na michezo
-Demonstrate mastery of Basic English language skills
4.DARASA 3 MASOMO -07
-Kiswahili
-English
-Sayansi
-Historia ya Tanzania na Maadili
-Hisabati
-Jiografia na mazingira
-Sanaa na michezo
5.DARASA 4 MASOMO-07
-Sanaa na michezo
-English
-Jiografia na mazingira
-Historia ya Tanzania na Maadili
-Kiswahili
-Hisabati
-Sayansi
(B) MADARASA YA MTAALA WA ZAMANI NA MASOMO YAKE
6. DARASA 5 MASOMO-07
-Maarifa ya jamii
-Uraia na maadili
-Sayansi na Teknolojia
-Hisabati
-kiswahili
-English
-Stadi za kazi
7. DARASA 6 MASOMO-07
-Maarifa ya jamii
-Uraia na maadili
-Sayansi na Teknolojia
-Hisabati
-Kiswahili
-English
-Stadi za kazi
8 .DARASA 7 MASOMO-07
-Kiswahili
-Stadi za kazi
-Sayansi na Teknolojia
-English
-Hisabati
-Maarifa ya jamii
-Uraia na maadili
%20(18).jpeg)